Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Tuesday, June 14, 2011
Bomu
Vijana wawili waliokota mabomu mawili, wakashauriana wayabebe kuyapeleka ama kuyarudisha jeshini. Mmoja akauliza "je moja likilipuka?"
Mwenzake akajibu "tutadanganya tumeokota moja tu"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment