Tuesday, June 14, 2011

Bomu

Vijana wawili waliokota mabomu mawili, wakashauriana wayabebe kuyapeleka ama kuyarudisha jeshini. Mmoja akauliza "je moja likilipuka?"
Mwenzake akajibu "tutadanganya tumeokota moja tu"

No comments:

Post a Comment