Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Tuesday, June 14, 2011
Ngumii
Katoto kamoja kalimkimbilia polisi na kunena:
Mtoto: Askari kuna watu wanapigana palee...
Askari: Baba yako nani?
Mtoto: Ndio wanapigania hicho hicho.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment