Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Wednesday, June 15, 2011
Kisiwa
Mwalimu aliuliza darasani "nani anaweza kuniambia kisiwa ni nini?"
Mwanafunzi mmoja akajitolea kujibu "kisiwa ni ardhi iliyozungukwa na maji pande zote kasoro moja tu"
Mwalimu akauliza "pande moja? ipi?"
Mwanafunzi akajibu "upande wa juu tu"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment