Thursday, June 16, 2011

Mlevi kubatizwa

Mlevi mmoja alikua akipita eneo akaona watu wanabatizwa mtoni, akaenda mpaka eneo husika mchungaji akamuita ili ambatize. Akazamishwa mara moja na kutolewa:

Mchungaji: Kaka umemuona Yesu?
Mlevi: Bado.
Akazamishwa tena mara ya pili jibu likawa lile lile, mara ya tatu akaulizwa.

Mchungaji: Umemuona Yesu sasa?
Mlevi: Hapana, una uhakika kweli kaingia humu?

No comments:

Post a Comment