Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Monday, June 13, 2011
Mke akinena...
Mke: Nataka nikuambie kitu ila usininase kibao.
Mume: Sema tu uwe na amani.
Mke: Nina ujauzito.
Mume: Sasa ulikua unaogopa nini?
Mke: Nilisemaga kabla hujanioa kwa baba akaninasa kibao.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment