Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Monday, June 13, 2011
Zama za ukoloni
Mwalilimu aliuliza swali darasani "tulitawaliwa toka wapi hadi wapi na wakoloni?" Mwanafunzi mmoja akajibu "enhe sina uhakika sana ila nnadhani ukurasa wa 60 mpaka wa 65"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment