Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Sunday, July 3, 2011
Kushikana mikono
Jamaa mmoja alimuuliza mwenzake jambo "hivi kwa nini wapendanao wanashikana mikono wakati wanafunga ndoa?"
Jamaa mwenzake akamjibu "kawaida ni kama vile mabondia wanavyoshikana mikono kabla ya ngumi kuanza"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment