Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Sunday, July 3, 2011
Maisha marefu
Mwanaume: Kuna njia yeyote ya kua na maisha marefu?
Dokta: Funga ndoa.
Mwanaume: Unadhani itasaidia?
Dokta: Hapana, itasaidia kupunguza mawazo ya kua na maisha marefu.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment