Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Friday, August 26, 2011
Darasani
Mwalimu akifundisha darasani:
Mwalimu: Wee Kelvin kwa nini unaongea darasani wakati nafundisha?
Mwanafunzi: Na wewe kwanini unafundisha wakati sijamaliza maongezi?
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment