Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Friday, August 26, 2011
Karanga
Kizee kimoja kwenye daladala alimpa kondakta karanga, baada ya mda akampa tena zingine. Konda akauliza "we mbona huli?"
Kizee akajibu "sina meno" Konda akauliza "sa umenunua za nini?"
Kizee kikajibu "mi napenda chocolate iliopo juu ya karanga tu"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment