Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Wednesday, November 16, 2011
Tv na kochi
Jamaa: ...wameniibia kila kitu kasoro Tv na kochi.
Polisi: Imekuwaje waibe vyote waacha ivo tu?
Jamaa: Wakati wanaiba nlikua naangalia Tv kwenye kochi.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment