Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Monday, November 14, 2011
Yuupi?
Jamaa akimsimulia jambo mwenzake "nataka kuoa mwanamke anaejua kupika, anaejiheshimu na alie na mvuto pia."
Rafiki akajibu "enhe! Sasa utamuoa yupi kati ya hao watatu?"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment