Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Sunday, January 1, 2012
Alipobanwa mtihani
Mwanafunzi alibambwa kwenye mtihani:
Mwalimu: Uliiua unampigia simu nani akupe majibu?
Mwanafunzi: Mwalimu ile haikua cheating mtu nliempigia hajui jibu pia.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment