Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Monday, January 2, 2012
Nzuri na mbaya
Dokta: Mzee nna habari mbaya na nzuri, nianze ipi?
Mzee: Anza na mbaya ifuate nzuri.
Dokta: Mbaya mguu wako tumeukata kabisa. Na nzuri nitakununulia kiatu kwa bei rahisi tu.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment