Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Saturday, January 28, 2012
Bafuni kwetu
Mtoto mmoja alimuuliza baba yake swali "baba kwanini kila mtu hapa nyumbani akiingia bafuni tu anaanza kuimba?"
Baba akajibu "sababu ni kitasa cha mlango kimekufa mwanangu"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment