Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Wednesday, February 1, 2012
Dereva alipoambiwa
Dereva mmoja alishuka kwenye gari haraka haraka baada ya kusimamishwa na mtu haraka haraka na kuhoji "vipi mbona umenisimamisha ghafla hivi kuna nini?"
Jamaa aliemshusha akanena "matairi yanazunguka huku nje ndio nkikuambia."
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment