Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Sunday, January 15, 2012
Mie naumwa
Mfanyakazi alimtumia sms/msg boss wake...
Mf'kaz: Boss leo siwezi kuja kazini naumwa.
Boss: Mi nikiumwa nambusu mke wangu kisha napona na nakuja kazini.
Baada ya masaa mawili mfanyakazi akatuma tena sms "boss nakuja kazini nimeshambusu mkeo"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment