Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Sunday, January 15, 2012
Talaka je?
Mwanaume: Kwa nini sasa usumuombe talaka mumeo kama humpendi na kumchukia?
Mwanamke: Yaani namchukia sana kiasi kwamba akinipa talaka ntampa wakati wa kuwa na furaha sana ndio sitaki.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment