Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Sunday, February 5, 2012
Kupiga pasi
Jamaa mmoja aliambiwa akapige pasi shati:
Jamaa: Nisaidie kulinyoosha kwa pasi hilo shati hapo na pasi hiyo hapo ya mkaa.
Alieambiwa akajibu "hii pasi yako haipigi shoti, naogopakurushwa"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment