Saturday, February 4, 2012

Safari ya boti

Mzee mmoja alikua kwenye boti akielekea visiwani, bahati mbaya upepo ukavuma na msuli aliovaa ukapeperuka. Mzee muda wote huo aliwahi kikofia chake (baraka-sheikh).

Kumuuliza matokeo ya kuzuia kofia na kubaki uchi yeye akajibu "hizo nywele mzionazo na hiyo naniliu vyote vya zamanj, hii kofia bado mpyaa."

No comments:

Post a Comment