Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Monday, March 12, 2012
Fumanizi
Jamaa alikua na mke wa mtu ghafla mwenye nyumba akarudi. Pa kujificha ni uvunguni...
Wakati jamaa amekaa kitandani kikavunjika alie uvunguni akapayuka "yalaah unaniumiza."
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment