Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Saturday, March 10, 2012
Ulevi barabarani
Trafiki polisi alimkamata jamaa akilewa huku ana endesha gari.
Trafiki: Tafadhali nitolee leseni yako na kadi ya gari.
Dereva akiongea kilevi: Ohh! Nishikie hii bia yangu kwanza ni nikutafutie hivyo vitu...
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment