Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Tuesday, April 3, 2012
Kazi ya mwalimu
Mkufunzi walimuuliza mwanafunzi wake mmoja "wenzako woote wamekusanya kazi nliyotoa wewe ya kwako sijaiona kwanini?" Mwanafunzi akajibu "mbona nime-i-upload muda mrefu facebook nikaku-tag pia, hujaiona?"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment