Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Tuesday, April 3, 2012
Kwenye harusi
Mtoto: Kwa nini Bw. Harusi huwa anakua upande wa kulia na Bi. Harusi upande wa kushoto? Mhasibu akajibu: Kwa mujibu wa Profit and Loss kwenye accounting, upande wa kulia kunakaa Income na upande wa kushoto expenses.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment