Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Tuesday, April 3, 2012
Samaki baada ya...
Mtoto mmoja akiwa na baba yake restaurant: Mtoto: Najua kwa nini watu wakila samaki hawanyi maji... Baba: Kwa nini unasema hivyo mwanangu? Mtoto: Kwa sababu wanaogopa samaki wataanza kuogelea.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment