Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Wednesday, April 4, 2012
Njiwa amekufa
Baba akiwa matembezini jioni na mwanae: Mtoto: Baba huyu sio njiwa amekufa? Baba: Amekufa ndio, keshaenda kwa Mungu. Mtoto: Sasa mbona Mungu kamrudisha hapa tena?
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment