Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, June 16, 2010

Mfungo...

Jamaa mmoja alikuwa hawezi kabisa suala la kufunga mwezi mtukufu. Siku moja mama yake mzazi akamuuliza ''hivi wewe utaanza lini kufunga?''

Jamaa akamjibu ''mbona nimeshaanza mama kufunga, shida iko wapi?''

Mama akauliza tena ''mbona wakati wa kufuturu haujumuiki nasi?''

Jamaa akajibu ''kwasababu huwa nafunga usiku''

No comments:

Post a Comment