Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, August 18, 2010

Simenti

Jamaa mmoja alijikuta anakanyaka ciment. Na alikuwa amelewa. Alipofika nyumbani akalala hivyo hivyo na viatu.

Asubuhi alipoamka akakuta mwanae anamwagia maji miguuni ''wewe unafanya nini?'' aliuliza kwa ukali.

Mtoto akajibu ''mama kaniambia nimwagie maji ciment ishike vyema usiende kulewa.''

No comments:

Post a Comment