Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, August 22, 2010

Ukuta

Katika wodi ya wagonjwa wa akili, walichorewa ukuta wakaambiwa waruke waende zao.

Wootee wakakimbilia wakabaki wawili wanawaangalia wenzao. Wakaulizwa na daktari wao.

"Nyie mbona hamfanyi kama wenzenu?"
Wa kwanza akajibu, "ukuta wenyewe si haujakauka bado"
Wa pili akajibu, "ona, ona tayari umeshaweka ufa ukuta wenyewe"

No comments:

Post a Comment