chekazone

Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.

Friday, August 31, 2012

Kitu cha posa...

›
Jamaa alienda kuposa kwa mzee mmoja. Mzee: Umekuja kuposa huku unatafuna big g!!? Jamaa: Natoa harufu ya sigara. Mzee: Yani unavuta sigar...
Thursday, August 30, 2012

Wizi Vs. mkwara

›
Jamaa mmoja alimuibia nauli mzee kwenye daladala.. Mzee: jamani alieniokotea nauli yangu airudishe kabla sijafanya nilichofanya mwaka 1947....
Tuesday, August 28, 2012

Nani atupe...

›
Ndani ya meli,watu makabila tofauti walikua na mizigo,meli ilizidiwa ilibidi mizigo ipunguzwe,Mzungu akatupa computer, akasema"kwe2 zpo...
Sunday, August 26, 2012

Kwa Dokta

›
JANE:"Daktari,kila mara baada ya kukojoa mwisho wa mkojo hutoka rangi ya brown." DAKTARI:"Mmmh,h uwa unafanya mapenzi mara ng...
Saturday, August 25, 2012

Mchungaji nae

›
MCHUNGAJI: Mgeukie jirani yako na umwambie Mungu yumwema, WAUMINI wote wakageukiana na kusema Mungu yumwema, MCHUNGAJI: Leo nitawaombea wal...
Wednesday, August 22, 2012

Pete ya dhahabu

›
Dada mmoja aliingia duka la urembo, akaona pete 1 ya dhahabu, wakati akiisogelea aione vizuri, bahati mbaya akajamba, akaangalia pande zote ...
Tuesday, August 21, 2012

Mkristo na futari

›
Ivi unafaham... Mkristu kavamia futari vuuuupu. Baada ya kula Sheikh akamchagua asome dua ya kushukuru! Jamaa kataka kuingia mitini ila akaj...

Utambulisho

›
Semina Ubungo Plaza... watu wakaanza kujitambulisha, Wa kwanza: Mimi naitwa John niko UDOM mwaka wa pili nasoma LAW. Wa pili: Mimi naitwa S...
Thursday, August 16, 2012

Kichaa juu ya mti

›
Siku kichaa mmoja alipopanda juu ya mwembe asubuhi akakaa huko mpaka jioni, kisha ilipofika jioni akajiangusha chini mzima mzima Daktari wa...
Tuesday, August 14, 2012

Simu ya nani?

›
Jamaa mmoja alipanda kwenye gari, wakati wapo safarini dereva wa ile gari akawasha redio, kwa vile ilikuwa na sauti ndogo na spika zake ndog...

Baba mbali na familia

›
Mzee mmoja alikua anafanya kazi mbali na familia yake, siku moja alipata likizo akarudi kuwa karibu na familia yake. Alipoika mtoto wake aka...
Thursday, June 21, 2012

Baba na Bintie

›
Binti: Hi Baba Baba: Hi binti yangu? Binti: Nimempenda huyu mlinzi wa hapa nyumbani na nimeamua kutoroka nikaolewe nae Baba: Pumbavu kweli ...
Monday, June 18, 2012

Mlinziiii

›
Binti: Hi Baba Baba: Hi binti yangu? Binti: Nimempenda huyu mlinzi wa hapa nyumbani na nimeamua kutoroka nikaolewe nae Baba: Pumbavu kweli ...

Mpenda mpira

›
Jamaa mpenda mpira kajichora tattoo mwilini mwake majina ya vifaa vya michezo, demu wake akawa anayasoma. kifuani NIKE pajani REEBOK, mgongo...

Jogoo

›
Jogoo alimkimbiza jike huku akiwaza nikimpata ataipata nikimkosa nitazuga nafanya zoezi, jike aliwaza nikisimama nitaonekana malaya nikikimb...
Friday, June 15, 2012

Swali gumu

›
Mtoto alimuuliza baba ake aliporudi nyumbani akamuuliza "eti baba na wewe una nywele huku karibu na kitovu?" Baba kwa mshangao ...

Wazo la mtoto

›
Mtoto akimuambia baba yake pale sebuleni kwao palipokuwa na tanki dogo la kioo la kufugia samaki. Mtoto "baba mi naona kama hao samaki ...
Tuesday, June 12, 2012

Kipigo icho

›
Mwanaume alienda kwa daktari wake ikawa hivi: Mwanaume: Dokta, mke wangu ananitwanga mangumi mno. Dokta: Kivipi na kwa nini haswa? Mwanaume:...

Semea mbovu

›
Mwanamke akimsemea mbovu bwana ake kwenye simu "mtu mwenyewe huna ishu, kwanza sio type yangu..." Mwanaume akajibu: Mpenzi wangu k...
Sunday, June 10, 2012

Wazaramu

›
Wazaramu walimkamata mwizi wakamuweka mtu kati wakamsema weee mpaka mwizi akafa.
Wednesday, June 6, 2012

Faini ya kukojoa

›
Polisi alimdaka jamaa anakojoa pembezoni mwa ukuta. Polisi: Wewe unajua panakatazwa kukojoa hapa? Jamaa: Sasa nimebanwa nifanyaje? Polisi: F...
Wednesday, May 30, 2012

Ajali ilivyotokea

›
Trafiki polisi akihoji palipotokea ajali "ahaa! Sasa naanza elewa embu nielezee jinsi ajali ilivyotokea wewe ukiwa kama dereva mhusika....

›
Mwanaume kwenye simu "dokta, mke wangu ameanza kuwa anafikira kama sungura...." Dokta akajibu "ihh mlete hospitali nimcheki. ...

Dawa yake

›
Mume alizoea kila mara akirudi usiku ananyimwa unyumba na mkewe kwa kisa anaumwa kichwa. Siku mume akarudi na moja kwa moja akampelekea pana...

Mshtuko wa moyo

›
Mume karudi akasikia sauti asiyoielewa toka chumbani kwake, akaenda na kukuta mkewe analalamika amepata mshtuko wa moyo. Mbio anaenda sebule...

4WD

›
Mwanaume alimnunulia pete ya almasi mkewe, rafiki akauliza "si ulisema anapenda gari yenye four wheel drive, mbona umenunua pete?"...

Ya leo mgonjwa

›
Dokta alipotembelea wodi ya mgonjwa wake aliepata ajali. Mgonjwa akiwa amening'inizwa mikono juu akauliza "dokta ntaweza kweli kup...
Sunday, May 27, 2012

Pombe basi

›
Cha pombe alikunywa sana pombe akataka ongeza mhudumu akamjibu "hapana imetosha sasa umekunywa saaana." Mlevi akajibu "nimean...

Kwa mama lishe

›
Jamaa kwa mama lishe baada ya kula wali nyama akaletewa vijiti vya kutolea nyama kwenye meno. Vilipofika tu mezani kwake akahoji "vimec...
Saturday, May 26, 2012

Wasiwasi

›
Dogo akimuongelesha mama yake aliepo sebuleni yeye akiwa jikoni "mama!" Mama nae akaitikia "ooh mwanangu" Mtoto: Unaikum...
‹
›
Home
View web version

About Me

My photo
patastories
mnambajohn@gmail.com
View my complete profile
Powered by Blogger.