Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, June 17, 2010

Bango

Watoto wawili walikaa sehemu wakiangalia mafundi wakiotengeneza bango kubwa la matangazo. Bahati mbaya lile bango lilitaka kuteleza, na chini yake mpita njia akipita. Ndipo mtoto mmoja akasema ''maskini lingemdondokea yule mtu akafa na asijue nini kimemuua.''

No comments:

Post a Comment