Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, June 17, 2010

Doli doli

Mama mmoja ili kumjenga mjukuu wake asifanyiwe ama kushikwa eneo nyeti na mtu yeyote mtoto aje kusema. Bibi uku akimuogesha alimwambia mjukuu wake ''toto zuri mtu yeyote asikushike doli doli yako enh! Umesikia enh?''

Mjukuu akashika neno.

Siku moja housegirl wakati anamuogesha uku akimsafisha na kumpaka sabuni mjukuu alichoropoka na sabuni yake mpaka kwa bibi yake, alipofika tu kwa bibi cha kwanza ni kusema ''biibi... biibi... dada amesha doli-doli yangu''

Walindeni watoto.

No comments:

Post a Comment