Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, July 23, 2010

Mhudumu na mteja

Mteja mmoja kwenye mgahawa alimuita mhudumu na kumuambia akawashe air condition, baada ya mda akamuita akaizime. Kwa muda wa dakika 15 mhudumu alisumbuliwa.

Mteja mwingine akamuliza 'mbona huyo mteja anakusumbua hivyo?'
Mhudumu akajibu, 'usijali hatuna hata hiyo air condition.'

No comments:

Post a Comment