Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, July 29, 2010

Ndege pori

Eti wale ndege pori wanaopenda kula mizoga baada ya simbana wengineo kumaliza kula, na wao walipata kamzoga mpaka mwisho wa siku wakatosheka na kuwepo tu pembeni palipo huo mzoga. Ndipo akaja ndege mwenzao na wakamuambia "usitulaumu kuchelewa kwako, sie tushakula ukikikuta cha baridi hilo halitu-husu"

No comments:

Post a Comment