Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, August 6, 2010

Pa kushushwa

Jamaa mmoja alipanda basi toka mbeya, alipokaribia karibia ubungo akiwa maeneo ya kimara akanyanyuka kwenye kiti chake na kwenda mpaka kwa dereva, kisha akamuambia ''dereva! Samahani unaweza ukanishusha kwanza hapo sinza halafu uje zako ubungo?''

No comments:

Post a Comment