Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, August 2, 2010

Pingu

Mtoto mmoja wa miaka mitano siku ya harusi ya wazazi wake aliposikia neno hili ''...pingu za maisha...''

Siku chache kabla ya harusi akamuuliza mama yake, "mama we na baba nnataka funga pingu za maisha?"
Mama yake akajibu ndio.
Mtoto akaendelea, "sasa mi ntabaki na nani mkifungwa pingu?''

No comments:

Post a Comment