Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, May 2, 2012

Hasira za mtoto

Baba na mtoto: Baba: Mwanangu ukiwa na hasira unafanya nini? Mtoto: Naenda chooni. Baba: Chooni? Kufanya nini? Mtoto: Kusafisha. Baba: Halafu ndio hasira zinaisha? Mtoto: Ndio nasafisha choo kwa mswaki wako.

No comments:

Post a Comment