Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, May 16, 2012

Ushauri wa dokta

Jamaa alikuwa anaumwa sana mkewe akamwita daktari, alipofika akamkuta jamaa kafumba macho; Dokta: Huyu mbona amekwisha kufa Jamaa: Sijafa bwana Mke: Hebu nyamaza bwana acha kubishana na wataalamu.

No comments:

Post a Comment