Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, April 4, 2012

Besdei ya mke

Jamaa akimuuliza rafiki yake jambo "aisee nisaidie namna ya kuweza ikumbuka siku ya kuzaliwa mke wangu maana..." Rafiki nae akamjibu "mbona rahisi tu, isahau mara moja tu utapata..."

No comments:

Post a Comment