Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, April 7, 2012

Jina la kijiji utata...

Mkoa wa Ruvuma una kijiji kinaitwa SENGE. Rais alienda ktk kampeni za Uchaguzi 2010. Mambo yakawa hivi: M/kiti na Katibu WA SENGE. Ndugu wananchi WA SENGE, Vijana, Wazee Wenzangu, na Watoto Wooote Wa SENGE. Mabibi Na Mabwana Wa SENGE "Asalam aleykum". "Wa Senge Oyyeeee!" Wa Senge Kimyaaaaa!.

No comments:

Post a Comment