Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, April 4, 2012

Gym...

Kijana alienda GYM kufanya mazoezi akamuuliza mkufunzi wa mazoezi "nataka kumvutia mchumba wangu mashine/kifaa gani nitumie sana?" Mkufunzi akamjibu "mi nadhani mashine nzuri ya kumvutia mchumba ako ni ATM"

No comments:

Post a Comment