Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, April 6, 2012

Shetani bar

Wakiwa bar wanakunywa ghafla aliingia shetani, bar nzima kila mtu akakimbia mlevi mmoja akabaki. Shetani: We mbona hujakimbia huogopi? Mlevi: Niogope nini wakati nimemuoa dada yako miaka 20 iliyopita.

No comments:

Post a Comment