Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, April 13, 2012

Je umelewa?

Askari wa doria walimdaka mzee mmoja akiwa chakali kwa pombe huku akiendesha gari. Askari: Mzee unajua kwamba unaendesha ukiwa umelewa. Mzee: Hapana sijalewa afande kwani vipi (akiongea kilevi levi) Askari: Naomba leseni na kadi ya gari. Mzee: Ok, nishikie hii bia yangu nkutafutie hivo vitu.

No comments:

Post a Comment