Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, April 13, 2012

Swali la mwalimu na mwanafunzi

Mwalimu: Ema kulikua na ndege watano ukamtungua mmoja watabaki wangapi? Mwanafunzi: Wataruka wote hamna atakaebaki. Mwalimu: Watabaki wanne mmoja atakufa. Mwanafunzi: Mwalimu na mimi nna swali. Mwalimu: Uliza tu. Mwanafunzi: Kulikua na wanawake watatu wanakula koni wa kwanza anailamba, wa pili ana imega, wa tatu anainyonya yupi kati yao kaolewa? Mwalimu: Mhh! Wa tatu ndio kaolewa. Mwanafunzi: Umekosa alieolewa mwenye pete ya ndoa kidoleni.

No comments:

Post a Comment