Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, April 3, 2012

Kwenye harusi

Mtoto: Kwa nini Bw. Harusi huwa anakua upande wa kulia na Bi. Harusi upande wa kushoto? Mhasibu akajibu: Kwa mujibu wa Profit and Loss kwenye accounting, upande wa kulia kunakaa Income na upande wa kushoto expenses.

No comments:

Post a Comment