Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, April 20, 2012

Mgonjwa na Dokta

Mgonjwa: Dokta nimekuja nahisi nna umwa malaria na kifua. Dokta: Sasa ushajua unaumwa nini hapa umefuata nini kwangu? Mgonjwa: Sasa si nimekuja kwa dokta. Dokta: Wanaojua kuwa wanaumwa kama wewe wanapitiliza maabara.

No comments:

Post a Comment