Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, April 13, 2012

Pombe hii?

Cha pombe mmoja akifokewa na mkewe "tatizo lako ukilewa huwa unaongea sana" njemba nayo haikukaa tu kimya akaamu kumjibu "mke wangu tatizo pombe nnazokunywa zinakua zisha-chacha ndio maana."

No comments:

Post a Comment