Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, April 4, 2012

Njiwa amekufa

Baba akiwa matembezini jioni na mwanae: Mtoto: Baba huyu sio njiwa amekufa? Baba: Amekufa ndio, keshaenda kwa Mungu. Mtoto: Sasa mbona Mungu kamrudisha hapa tena?

No comments:

Post a Comment