Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, April 18, 2012

Nani kaliwa?

Nani imekula kwake hapa???? Phone call Girl:hellow Boy:sweet mambo vp? Girl: poa Boy:utakuwa free weekend?nilikuwa nataka uje nyumbani....kwangu. Girl: oh sorry,sintoweza kuja coz kuna harusi ya aunt yangu na siku ya pili kutakuwa na wageni nyumbani. Boy:kama ni hivyo sawa just nilikuwa nataka nikufanyie suprise nimekununulia i phone. Girl: oh usijali mpenzi wangu nitakuja,hata ukitaka nilale huko huko nitalala. Boy:vp kuhusu harusi? Girl:harusi ipi?nilikuwa nakutania sweety! Boy: poa na mimi nilikuwa nakutania hny!!

No comments:

Post a Comment