Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, October 8, 2012

Dokta na mgonjwa wake

Daktari mmoja alienda wodini akamkuta mgonjwa wake amelala usingizi maongezi yakawa hivi baada ya kumuamsha "nimekuja kukuletea dawa ya usingizi hii hapa kunywa"

No comments:

Post a Comment